Ufafanuzi wa Biblia Katika Mazingira na Utamaduni wa Kiafrik
Tokunboh Adeyemo
Hard Cover
Barcode: 9781783687466
Release date: 14/12/2019
Kitabu hiki cha Ufafanuzi wa Biblia Katika Mazingira ya Kiafrika ni kitabu cha kipekee kuwahi kuchapishwa –maana ndicho cha ufafanuzi wa kwanza wa Biblia katika juzuu moja lililotolewa Afrika na wanatheolojia Waafrika ili kuyakidhi mahitaji ya wachungaji wa Kiafrika, wanafunzi na viongozi wa kanisa. Kwa kufasiri na kuzingatia matumizi ya Biblia katika mikutadha halisi ya utamaduni wa Kiafrika ulivyo sasa; kitabu hiki kinayaelezea Maandiko Matakatifu vizuri sana na kwa undani kwa njia bora zinazoafiki bara la Afrika kwa umuhimu wake.
QUESTIONS & ANSWERS
Have a Question?
Be the first to ask a question about this.